Posts

Kuhusu warsha ya watendaji wa Serikali udhibiti tumbaku hivi karibuni mjini Dodoma

Image
Mwenyekiti wa ATHJ, Mashaka Bonifas Mgeta (watatu kutoka kushoto, mstari wa katikati) na na mjumbe wa Kamati ya uongozi ya ATHJ, McDonald Mollel (wa pili kulia, mstari wa katikati) wakiwa na washiriki wengine wa warsha ya watendaji wa Serikali kuhusu udhibiti wa tumbaku iliyofanyika hivi karibuni mjini Dodoma kwa uratibu wa Jukwaa la Udhibiti wa Tumbaku (TTCF)

Mtazamo wa ki-habari katika udhibiti wa tumbaku

Image
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Afya Tanzania (ATHJ), Mashaka Bonifas Mgeta (mbele) akiwasilisha mada kuhusu Mtazamo wa ki-habari katika udhibiti wa tumbaku. Ilikuwa kwenye warsha ya watendaji wa Serikali iliyofanyika hivi karibuni mjini Dodoma kwa uratibu wa Jukwaa la Udhibiti wa Tumbaku (TTCF)

Health ministry announces over 2000 jobs

Image
Health Minister Ummy Mwalimu Over 2000 health workers have been offered jobs at district and regional hospitals in the country, a statement by the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children said. The statement released by the ministry’s communications unit said that the new job posts come after a license was issued by the government in f rom July this year to put 3,152 health workers on employment. “A total of 2,058 applicants have been offered jobs at district and regional hospitals and should visit the www.tamisemi.go.tz website for details,’’ reads the statement which outlined a number of procedures for the selected applicants. The statement comes barely a week after the President’s Office Regional Administration and Local Government (PRALG) announced that it was putting on hold new job posts for those who had applied in August.

Stage set for health reporters in Tanzania to sharpen skills

The Association of Tanzania Health Journalists(ATHJ) has created a platform for reporters in the country to come together and strategize on how to enhance healthcare reporting. ATHJ is a Non-Governmental Organisation(NGO), registered in Tanzania.